Mourinho hatachukuliwa hatua zaidi baada ya kutimuliwa uwanjani

Jose Mourinho on the touchline at St Mary's
Mourinho hatachukuliwa hatua zaidi baada ya kutimuliwa uwanjaniJose Mourinho hatachukuliwa hatua zaidi baada ya kutimuliwa uwanjani wakati wa mechi kati ya Manchester United Siku ya Jumamosi.
Meneja huyo na Manchester United alitumuliwa na refa Craig Pawson, kwa kuingia uwanjani wakati wa mechi ambayo Man U walishida kwa bao 1-0.
Baada ya kupokea ripopti ya refa, shirikisho la kandanda barani Ulaya la FA, liliamua kuwa halitachukua hatua zaidi dhidi yake.
Mourinho alipigwa marufuku mara mbili na shirikisho la FA msimu uliopita
Mourinho hatachukuliwa hatua zaidi baada ya kutimuliwa uwanjani Mourinho hatachukuliwa hatua zaidi baada ya kutimuliwa uwanjani Reviewed by EXUPER ASSOCIATION on 10:21 Rating: 5

Post Comments

Powered by Blogger.