Msuva, Tambwe waitesa Yanga msimu huu

MCHEZAJI wa zamani wa Yanga, Aron Nyanda amesema kutokuwepo kwa wachezaji muhimu katika kikosi hicho ndio sababu timu kuanza kwa kusuasua.
Nyanda alisema kutokuwepo kwa Saimon Msuva aliyekwenda kucheza soka la kulipwa nchini Morocco na kukukosena kwa Amiss Tambwe ni moja ya tatizo ambalo limewakumba Yanga mwanza wa msimu huu.
“Ukiangalia kwa makini katika misimu mitatu ambayo Yanga watachuikua ubingwa mfululizo, Tambwe ndio mfungaji bora wa muda wote,” alisema.
“Msuva ameacha pengo kubwa ambalo halijazibika mpaka leo kwani uwepo wake uwanjali alikuwa na uwezo wa kukupa vitu viwili kufunga na kutengeneza nafasi za wenzake kufunga,” aliseama Nyanda.
Msuva, Tambwe waitesa Yanga msimu huu Msuva, Tambwe waitesa Yanga msimu huu Reviewed by EXUPER ASSOCIATION on 21:08 Rating: 5

Post Comments

Powered by Blogger.